Tuesday, October 13, 2015

Anonymous

MSIBA: Taarifa Rasmi ya Waziri Abdallah KIGODA Kufariki Dunia

Waziri wa viwanda na Biashara, Abdalah Kigoda (Mb) enzi za uhai wake.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh. Abdalah Kigoda amefariki dunia majira ya saa kumi jioni ya leo katika hospitali ya Appolo nchini India alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungao wa Tanzania kupitia kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano imekili kupokea taarifa za msiba huo jioni ya leo na kusema kuwa, taarifa zaidi kuhusu taratibu za kuusafisha mwili wa marehemu kutoka India kuja hapa nchini na mipango ya mazishi zitaendelea kutolewa na serikali pamoja na Ofisi ya Bunge kwa ushirikiano na familia kadri zitakavyokua zinaendelea kupatikana.
“Inna Lillahi wa inna ilaihi raji’un”

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.