Jimbo la Kawe: Halima Mdee wa Chadema, ameshinda kwa jumla ya kura 96432, dhidi ya mpinzani wake wa karibu Kippi Warioba, aliyepata kura 83061.
Endelea kufuatilia hapa kandiliyetu.com kwa updates zote muhimu za uchaguzi mkuu na matukio mbalimbali kama bado hauja-like page yetu ya facebook bonyeza hapa
Note: Only a member of this blog may post a comment.