Tuesday, October 27, 2015

Anonymous

Matokeo Rasmi ya Ubunge Jimbo la KAWE Kwa HALIMA MDEE wa CHADEMA Hatimaye Yametoka...Yacheki Hapa

Jimbo la Kawe: Halima Mdee wa Chadema, ameshinda kwa jumla ya kura 96432, dhidi ya mpinzani wake wa karibu Kippi Warioba, aliyepata kura 83061.
Endelea kufuatilia hapa kandiliyetu.com kwa updates zote muhimu za uchaguzi mkuu na matukio mbalimbali kama bado hauja-like page yetu ya facebook bonyeza hapa 

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.