Edward Lowassa
Kupitia Ukurasa wa Facebook unaitwa Chadema Pameandikwa Taarifa kuwa Edward Lowassa Amekubali kushindwa Urais na Ameamua Kupumzika Siasa...
Edward Lowassa Mwenyewe Ameibuka kupitia Ukurasa wake Halali wa Facebook na kukanusha juu ya habari hiyo na kusema ni za uzushi
Ameandika Haya hapa:
"Taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao kwamba nimekubali kushindwa katika Uchaguzi wa Rais ni za uwongo, Ninaomba zipuuzwe" Lowassa
Kupitia Ukurasa wa Facebook unaitwa Chadema Pameandikwa Taarifa kuwa Edward Lowassa Amekubali kushindwa Urais na Ameamua Kupumzika Siasa...
Edward Lowassa Mwenyewe Ameibuka kupitia Ukurasa wake Halali wa Facebook na kukanusha juu ya habari hiyo na kusema ni za uzushi
Ameandika Haya hapa:
Note: Only a member of this blog may post a comment.