Wednesday, October 28, 2015

Anonymous

Jimbo la Kalambo, Rukwa: Matokeo Rasmi ya Ubunge Haya Hapa

Mkoani Rukwa katika Jimbo la Kalambo: Kandege Sinkamba wa CCM aibuka kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge kwa kupata kura 36,582 dhidi ya mpinzani wake Sichone Mateni wa CHADEMA kupata kura 31,102

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.