Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Wednesday, October 28, 2015
Anonymous
Jimbo la Kalambo, Rukwa: Matokeo Rasmi ya Ubunge Haya Hapa
Mkoani Rukwa katika Jimbo la Kalambo: Kandege Sinkamba wa CCM aibuka kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge kwa kupata kura 36,582 dhidi ya mpinzani wake Sichone Mateni wa CHADEMA kupata kura 31,102
Note: Only a member of this blog may post a comment.