Jimbo la Temeke: Mgombea Ubunge (CUF) kwa Jimbo la
Temeke, Abdallah Mtolea ametangazwa rasmi kuwa mbunge wa jimbo hilo
akipata kura 103,231 akimwangusha mpinzani wake Abbas Mtemvu (CCM)
aliyepata kura 97,555.
Endelea kufuatilia hapa kandiliyetu.com kwa updates zote muhimu za uchaguzi mkuu na matukio mbalimbali kama bado hauja-like page yetu ya facebook bonyeza hapa

Note: Only a member of this blog may post a comment.