Friday, October 30, 2015

Anonymous

JERRY SILAA Amliza JOKATE KIDOTI!

MWANADADA ‘kiraka’ anayefanya mitindo, muziki, uigizaji na ujasiriamali, Jokate Mwegelo amemwaga chozi baada ya kupata taarifa za kukosa ubunge wa Jimbo la Ukonga kwa aliyekuwa Meya wa Ilala, Jerry Silaa na kusema ameumia kuliko maelezo.
Mwanadada ‘kiraka’ anayefanya mitindo, muziki, uigizaji na ujasiriamali, Jokate Mwegelo.
Akizungumza na Ijumaa juzi, Jokate ambaye ni mtu wa karibu sana na mheshimiwa huyo alisema, hakutarajia kabisa kupata matokeo hayo lakini akadai anachoamini bado ‘mtu’ wake huyo ana nafasi ya kupata cheo kingine.
“Mimi nina imani kuwa atapata nafasi nyingine nzuri kwani uwezo wa kuongoza anao lakini nimeumia sana, yaani dah!” alisema Jokate.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.