Sunday, October 18, 2015

Anonymous

Dr. SLAA Akimbilia Tena Marekani, Awapa Ujumbe Huu Watanzania Kuhusu Uchaguzi Mkuu!

Baada ya kutapatapa huku na kule na kushuhudia jinsi alivyoshusha heshima yake na kudharauliwa na wananchi Dr. Slaa kaamua kukimbilia tena Marekani na kuwatakia watanzania uchaguzi mwema.
Dr. Slaa hapa karibuni heshima yake ilishuka sana, baada ya kuanza kutumiwa na CCM. Maskini sasa hivi baada ya kuona hana impact tena wameamua kuachana naye jumla na yeye kuamua kurudi Marekani kwa aibu...
Mytake:
Hiyo ndio dhambi ya usaliti. Kamwe hawezi kuishi kwa furaha
Source: Raia Tanzania... 16.10.2015
By by Ocampo four

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.