Friday, September 25, 2015

Anonymous

Wimbo Rasmi wa Tuzo za Afrimma Ulioshirikisha Wasanii 10 Wakiwemo DIAMOND, VANESSA MDEE, Yvonne CHAKA CHAKA, KCEE, AWILO, EDDY KENZO…

Wasanii kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanaowania tuzo za Afrimma wameungana kufanya wimbo rasmi wa tuzo hizo (Afrimma Theme Song).
Walioshiriki katika wimbo huo ni pamoja na mkongwe kutoka Afrika Kusini Yvonne Chaka Chaka, Awilo Logomba (Congo), Diamond Platnumz (Tanzania), Eddy Kenzo (Uganda), Harrysong (Nigeria), Kcee (Nigeria), Stanley Enow (Cameroon), Dynamq (South Sudan) Teddy-A (Nigeria), Vanessa Mdee (Tanzania) na Toofan (Togo).
Tuzo za ‘2015 African Muzik Magazine Awards’ zinatarajiwa kutolewa Octoba 10 huko Dallas, Marekani.
Cheki au download wimbo huo hapa

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.