Wednesday, September 9, 2015

Anonymous

WATAISOMA Namba Mwaka Huu! JOYCE KIRIA na Michango ya Kampeni!

KIRIA (3)Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria na kada mwenzake wa Chadema.
Hamida Hassan
UBUNIFU! Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria ameonesha kitu kipya baada ya kubuni namna ya kumsaidia mumewe, Henry Kileo anayegombea ubunge Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro kupitia Chadema, akisema anaomba michango kwa kutumia kadi maalum.
KIRIA (1)Watu mbalimbali wakijitolea kuchangia.
Akizungumza na gazeti hili, Joyce alisema alilazimika kusambaza kadi hizo kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa sababu hawana fedha za kampeni hivyo anaamini kwa njia hiyo anaweza kumpiga tafu mumewe ili aweze kutimiza ndoto zake.
KIRIA (2)“Yaan hali ni mbaya, hatuna fedha kabisa ndiyo maana nimeamua kusambaza kadi za michango ili kupata sapoti kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki zetu, ” alisema Joyce.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.