Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe, mlolongo wa tuhuma dhidi ya Ngoyai alizomwaga babu jana pale Serena Hotel hazina ushahidi.
My take:
Kulikuwa na haja gani kwa babu kukaa kimya muda wote huu afu anakuja kumwaga tuhuma zisizo na ushahidi? Kwa nini asingetumia muda huo ambao kasema hakuwa likizo, kutafuta ushahidi wa hizo tuhuma?
Kwa nini tusimpuuze? Tumpuuze!
My take:
Kulikuwa na haja gani kwa babu kukaa kimya muda wote huu afu anakuja kumwaga tuhuma zisizo na ushahidi? Kwa nini asingetumia muda huo ambao kasema hakuwa likizo, kutafuta ushahidi wa hizo tuhuma?
Kwa nini tusimpuuze? Tumpuuze!


Note: Only a member of this blog may post a comment.