Wednesday, September 2, 2015

Anonymous

Chizi aliyetajwa na SLAA Ndio Nani?!

Jana Dr Slaa Alimtaja Mtu Aitwaye chizi na Kusema kuwa aliambiwa kuwa ndio mtaalamu wa kuiba kura CCM na Anakuja Chadema...Wengi wetu tulikuwa hatumjui na bado hatumjui, je ni nani huyu chizi?!
Toa maoni yako hapo chini

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.