Friday, September 4, 2015

Anonymous

Sharobaro wa Kihaya kwenye tuhuma za ukaribu na mke wa rafiki yake..Soudy Brown ana majibu haya!!Uheard (Audio)

Soudy Brown kapata tetesi kuwa staa wa kipindi cha vichekesho cha Futuhi kinachorushwa na StarTV Sharobaro wa Kihaya  amekuwa na uhusiano na mwanamke wa rafiki yake..akaona apate ukweli kuhusu malalamiko hayo. 

Rafiki wa Sharo wa Kihaya amesimulia na kusema yeye na mshikaji walikua marafiki, na alikua akimkaribisha nyumbani mara kwa mara, lakini alikuja kushangaa wamekuwa karibu kiasi cha jamaa kununuliwa gari na mke wa wake…
Wasikilize hapa kwenye Uheard..

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.