Friday, September 11, 2015

Anonymous

Pichaz Kutoka Kwenye Mkutano wa Mgombea Urais wa CCM John MAGUFULI Musoma Leo Sept 11

7mgfl 
Ziara za wagombea nafasi za Urais kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania bado inazidi kuchukua kasi,upande wa Chama Cha Mapinduzi na mgombea wake John Magufuli leo walikua wakizungumza na wapiga kura wa Musoma Mjini kwenye uwanja wa Mkendo.
9mgfl 
Viongozi,Wazee na makada mbalimbali walipata nafasi ya kuongea akiwemo Jaji Sinde Warioba,Naibu Waziri wa Fedha na Naibu katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Mwigulu Nchemba,Steven Wasira na viongozi wa Mkoa.
8mgfl 
Nimefanikiwa kukurekodia kipande kidogo mtu wangu wakati Mgombea Urais Magufuli akizungumza na wananchi wa Musoma Mjini.
6mgfl
5mgfl
3mgfl
2mgfl
Bonyeza play kusikiliza.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.