Headlines za Tanzania kwa sasa ni kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015,Wagombea wa nafasi mbalimbali wanapita kila sehemu,kila Mkoa,kila Wilaya kunadi sera zao ambapo leo Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi kwenye nafasi ya Urais John Magufuli ameongea na wapiga kura wa Mtwara.
Kwenye hotuba yake Mheshimiwa Magufuli
kuna maeneo ambayo aliamua kuyazungumzia kwamba akifanikiwa kuwa Rais
wa nchi hii ni miongoni mwa mambo atakayoyashughulikia,mambo hayo ni
pamoja na mikopo ya Wanavyuo,Kuporwa na kuuwawa kwa Polisi,nimekurekodia
pia mtu wangu.
Bonyeza play kumsikiliza.

Note: Only a member of this blog may post a comment.