Sunday, September 6, 2015

Anonymous

BAADA YA MUMEWE KUBADILI JINSIA... MAMA KIM: NATAKA NIITWE KARDASHIAN

Kris-Jenner-Photos
Kris Jenner
NEW YORK, Marekani
IKIWA imepita miezi kadhaa tangu mumewe, Bruce Jenner kujibadili jinsia na kuwa mwanamke kisha kujiita ‘Caitlyn’ mkewe naye ameamua kumfuta kabisa kwa kubadilisha jina la Kris Jenner na kutaka kuitwa Kris Kardashian.
bruce-jenner-1-435
Bruce Jenner (Caitlyn).
Kwa mujibu wa mtandao maarufu wa Marekani, unaweka wazi kuwa Kris (59) anafanya kila liwezekanalo kujibadilisha muonekano na kuwa mzuri kuliko Caityln (65) alivyo sasa.
161650777_Kim-Kardashian-Kris-Jenner-467
Kim Kardashian na mama yake Kris Jenner (Kris Kardashian).
“Hataki kabisa kuonekana mbaya halafu Caitlyn mzuri, kwa sasa amebadili jina na hii yote ni kutaka aonekane yupo juu kuliko mumewe huyo wa zamani,” kilisema Chanzo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.