Kris Jenner
NEW YORK, Marekani
IKIWA imepita miezi kadhaa tangu mumewe,
Bruce Jenner kujibadili jinsia na kuwa mwanamke kisha kujiita ‘Caitlyn’
mkewe naye ameamua kumfuta kabisa kwa kubadilisha jina la Kris Jenner
na kutaka kuitwa Kris Kardashian.
Bruce Jenner (Caitlyn).
Kwa mujibu wa mtandao maarufu wa
Marekani, unaweka wazi kuwa Kris (59) anafanya kila liwezekanalo
kujibadilisha muonekano na kuwa mzuri kuliko Caityln (65) alivyo sasa.
Kim Kardashian na mama yake Kris Jenner (Kris Kardashian).
“Hataki kabisa kuonekana mbaya halafu
Caitlyn mzuri, kwa sasa amebadili jina na hii yote ni kutaka aonekane
yupo juu kuliko mumewe huyo wa zamani,” kilisema Chanzo.

Note: Only a member of this blog may post a comment.