Tuesday, September 29, 2015

Anonymous

ALIKIBA, JOKATE KIDOTI Sasa MAMBO HADHARANI!

Alikiba na Jokate Mwegelo waligeuka kuwa kama kumbi kumbi weekend hii baada ya kuungana pamoja kushuhudia mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.
Ali Kiba na Jokate wakitoka katika uwanja wa Taifa  
Alikiba na Jokate wakitoka katika uwanja wa Taifa
Jokate ambaye anaonekana kuwa ni shabiki wa Yanga iliyoibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Simba alionekana mfalme wake Kiba akiwa amepigilia blausi nyeupe, jeans ya blue na kofia ya blue iliyoandikwa ‘King.’
Kupitia Instagram mrembo huyo alipost picha akiwa uwanjani na kuandika: TeamYanga.
Ali Kiba na Jokate
Jokate akiwa uwanja wa Taifa

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.