Alikiba na Jokate Mwegelo waligeuka kuwa kama kumbi kumbi weekend hii
baada ya kuungana pamoja kushuhudia mechi ya watani wa jadi, Simba na
Yanga kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.
Jokate ambaye anaonekana kuwa ni shabiki wa Yanga iliyoibuka na
ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Simba alionekana mfalme wake Kiba akiwa
amepigilia blausi nyeupe, jeans ya blue na kofia ya blue iliyoandikwa
‘King.’
Kupitia Instagram mrembo huyo alipost picha akiwa uwanjani na kuandika: TeamYanga.

Note: Only a member of this blog may post a comment.