Tuesday, August 25, 2015

Anonymous

ZITTO KABWE Awashushia KOMBORA Wasanii Wanaoshiriki Kampeni za CCM...Afunguka MAZITO!


"Wasanii wa Tanzania, wakati tunatetea kazi zenu kurasimishwa ili mfaidi jasho lenu, hawa mnaowaimbia leo hawakuinua mdomo wao kuwatetea. Kampeni zikiisha na thamani yenu imeisha. Tulipopaza sauti kupinga unyonyaji wa makampuni ya simu kwenye RBT hawa wanaoahidi kuwatetea leo hata habari walikuwa hawana. Naomba mtafakari sana hatma ya tasnia yenu." Ameandika hayo katika akaunti yake ya Instagram muda mfupi leo.
Una maoni gani?! Funguka hapo chini tafadhali!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.