Thursday, August 27, 2015

Anonymous

Wakati UKAWA Wakipigwa MARUFUKU...Shuhudia MAGUFULI Anavyochanja Mbuga Mikoani!


Wakati Ukawa wakiwa wamezuiliwa kutumia uwanja wa Jangwani uliopo Dar es Salaam kwenye shughuli za kampeni uchaguzi 2015, sasa hapa nina picha ambazo zikimuonesha mgombea wa Urais kupitia chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika ziara zake huko Mikoani ikiwemo, Tunduma, Sumbawanga, Rukwa.
 
Mhe. Magufuli katika Kampeni za Uchaguzi 2015 mkoani Sumbawanga.
 
 Mhe John Pombe Magufuli akihotubia Wananchi wa Tunduma, asema atashulikia matatizo yao.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.