Wakati Ukawa wakiwa wamezuiliwa kutumia uwanja wa Jangwani uliopo Dar es Salaam kwenye shughuli za kampeni uchaguzi 2015, sasa hapa nina picha ambazo zikimuonesha mgombea wa Urais kupitia chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika ziara zake huko Mikoani ikiwemo, Tunduma, Sumbawanga, Rukwa.
Thursday, August 27, 2015
Wakati UKAWA Wakipigwa MARUFUKU...Shuhudia MAGUFULI Anavyochanja Mbuga Mikoani!
Wakati Ukawa wakiwa wamezuiliwa kutumia uwanja wa Jangwani uliopo Dar es Salaam kwenye shughuli za kampeni uchaguzi 2015, sasa hapa nina picha ambazo zikimuonesha mgombea wa Urais kupitia chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika ziara zake huko Mikoani ikiwemo, Tunduma, Sumbawanga, Rukwa.

Note: Only a member of this blog may post a comment.