Thursday, August 27, 2015

Anonymous

VIDEO&PICHAZ: Shuhudia MANCHESTER UNITED Walivyofanya MAUAJI Ulaya!

BRUGGE, BELGIUM - AUGUST 26: during the UEFA Champions League qualifying round play off 2nd leg match between Club Brugge and Manchester United held at Jan Breydel Stadium on August 26, 2015 in Brugge, Belgium. (Photo by Dean Mouhtaropoulos/Getty Images)
Klabu ya Manchester United August 26 imeshuka dimbani kucheza mechi yake ya marudiano na Club Brugge ya Ubelgiji, mchezo huo ambao Club Brugge imecheza nyumbani lakini imepokea kichapo cha goli 4-0. Magoli ya Man United yamefungwa na nahodha wa timu hiyo Wayne Rooney dakika ya 20, 49 na 57 huku goli la nne lilifungwa na Ander Herrera dakika ya 63.
Picha za mechi
485275046
Generated by IJG JPEG Library
Par8256259_2
Generated by IJG JPEG Library
1440616328283_lc_galleryImage_26_August_2015_UEFA_Champ
Nakusogezea video ya magoli mtu wangu

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.