Wednesday, August 19, 2015

Anonymous

VIDEO ikionyesha Mabasi mapya ya kisasa Dar yalivyofanyiwa test kubeba abiria!

August 17 2015 yalitambulishwa rasmi kwa Watanzania mabasi yatakayo safirisha abiria kwa haraka zaidi kutokana na kupita kwenye barabara yake maalum, ni mradi ambao una miaka zaidi ya 10 toka umeanza kufanyiwa kazi. 

Pamoja na kufanikiwa kufika walipofika….. Mabasi haya yaliyojaribiwa milango ya abiria kushuka na kupanda iko kushoto hivyo abiria wanalazimika kushukia na kupandia upande tofauti na ilivyotakiwa, tazama hii video hapa chini.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.