Wednesday, August 19, 2015

Anonymous

Tatizo la kukataliwa na wasichana Kila Ninapotongoza..Naombeni Ushahuri!

Ndugu zangu kila ninapotongoza wasichana wananikataa.
Sijui sababu ya kukataliwa mwishowe huwa naishia kupiga punyeto au kununua dada poa
Nisaidien ndugu nipate technic nataka niwe na msichana wangu Peke yangu.

JIBU KUTOKA KWA AUNTY MAPENZI RAHA:
Hebu chunguza yafuatayo.
Unapiga mswaki?
Unanuka kikwapa?
Au unafuaga nguo vizuri?
Unapiga pasi?
Miguu yako inatoa harufu ukivaa viatu?
Unanyoaga nywele za kichwani na kidevuni na mashavuni?
Una mkwanja?
Kama majibu ya maswali yote haya ni NDIO basi nadhani inabidi ukasafishiwe Nyota yako kanisani.
Sio Bagamoyo.
Tuanzie hapo kwanza
Halafu kumbuka kuweka umri wako hapa wakati unajibu maswali haya.
Vigezo na masharti kuzingatiwa
Je wewe una mshauri nini Huyu Jamaaa?

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.