Wednesday, August 19, 2015

Anonymous

PICHAZ: Shuhudia KINGWENDU Akichukua Fomu ya Ubunge

kingwendu 
Kingwendu akikabidhiwa fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kisarawe kwa tiketi ya CUF.
Katika hali ya kuonyesha kuwa UKAWA imedhamiria kushika dola, mgombea wa ubunge jimbo la Kisarawe kwa tiketi ya Chama Cha wananchi (CUF),  Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’ jana amechukua fomu ya ubunge na kuahidi kuwa muda wa kwenda kubutua mijicho yake na kutoa ulimi nje umewadia, huu ndio muda wa heno heno.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.