Monday, August 24, 2015

Anonymous

RAY C kuja na documentary ya maisha yake ya UTEJA!

Ray C amedai kupata msaada kutoka Ujerumani utakaosaidia kuandaa documentary ya maisha yake.
Ray-C-710x434
Ray C ametangaza habari hiyo njema kwenye Instagram.
Sitakiwi kuongea ila kwa sababu Documentary inakamilika muda si mrefu nimeona niwambie tu kuwa Ray C Foundation imepata Donor mkubwa sana kutoka Germany.na tayari tumeshaanza kushoot Documentary ya maisha yangu ya Uteja!Documentary hii inanihisu Mimi kama mwanamuziki itaonyesha jinsi gani nilivyoanza kuvuta madawa ya kulevya na majanga yote niliyofanya ili niweze kununua unga na mengi sana mabaya niliyokutana nao kipindi niko hoi na unga

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.