Monday, August 3, 2015

Anonymous

PICHA ZINATISHA TAFADHALI: MAJAMBAZI 4 WAUAWA NA POLISI MBEYA YAKIJARIBU KUPORA DUKANI!

Toka Mbeya
Leo hii majira ya saa 11:30 hrs majambazi 4 wote raia wa Zambia, wakiwa na silaha SMG na STERLING GUN walivamia mfanyabiashara mmoja dukani kwake Tunduma, wilaya ya Momba ambako, waendesha bodaboda wakiripoti tukio hilo ujambazi, bila kuchelewa wananchi kwa kushirikiana na Polisi walikwenda kupambana na majambazi hao (Live) na mapambano hayo yalidumu kwa zaidi masaa mawili na mwisho wa mapambano majambazi walizidiwa nguvu na walikamatwa na bunduki zao wametiwa mbaroni.


USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.