Thursday, August 20, 2015

Anonymous

MASKINI ALEX SONG WA FC BARCELONA...APOTEZA KABISA MATUMAINI!

Kiungo wa kimataifa wa Cameroon ambaye amewahi kuichezea klabu ya Arsenal ya Uingereza kwa muda mrefu kabla ya kutimkia FC Barcelona ya Hispania Alex Song na msimu uliopita kuitumikia klabu ya West Ham United ya London kwa mkopo akitokea FC Barcelona amepoteza matumaini ya kuendelea na West Ham United.
Alex-Song-512854
Song alikuwa na matumaini ya kubakia katika kikosi hicho baada ya kuwa hana namba katika kikosi cha kwanza cha FC Barcelona ya Hispania hivyo matumaini ya kujiunga jumla na klabu hiyo yalikuwa makubwa baada ya kufanya vipimo vya Afya na kufuzu, taarifa zilizotoka August 19 ni kuwa West Ham wamesitisha mpango huo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.