Tuesday, August 18, 2015

Anonymous

Maneno ya Peter Msechu baada ya malalamiko kwenye shindano la Kinondoni Talent Search…#Uheard (Audio)

msechuu
Katika shindano la Kinondoni Talent Search, Peter Msechu ambaye alikua Jaji wa shindano hilo amesema si kweli ametengeneza uadui kati yake na washiriki wa shindano hilo.
Amesema anafahamu pressure ya mashindano hayo na amefanya kazi yake kama msanii kwa wale ambao ameona wana kiu ya kufika mbali katika sanaa hiyo. 

Amesema si kweli alimkasirisha Rais kama ambayo watu wanadhani, bali aliona ni busara Rais awaone washindi na kuongea neno juu yao…na kitendo cha kuondoka kwake kabla ya muda alikua amechoka na kuwa na ratiba nyingine.
Msikilize hapa….

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.