Wakati umefika kwa Lowassa kujibu mapigo na kuwaeleza watanzania kila
kitu(A-Z) kuhusu Richmond maana kwa mujibu wa gazeti la Uhuru la jana Jumatano
tarehe 19/08/2015,CCM wanapanga kutumia kile kinachoitwa "file chafu" la
Lowassa kukuchafua hivyo nawe jibu mapigo bila kuficha chochote
vinginevyo itaku-cost.
Kichwa kimoja kidogo cha habari katika ukurusa wa mbele kinasomeka, "faili chafu lenye lundo za kashifa kufunguliwa J'pili".
Tukumbuke J'pili ndio CCM nao wanazindua kampeni zao.
Yangu ni hayo tu.
-JF
Kichwa kimoja kidogo cha habari katika ukurusa wa mbele kinasomeka, "faili chafu lenye lundo za kashifa kufunguliwa J'pili".
Tukumbuke J'pili ndio CCM nao wanazindua kampeni zao.
Yangu ni hayo tu.
-JF


Note: Only a member of this blog may post a comment.