Thursday, August 20, 2015

Anonymous

UTAFITI MPYA: LOWASSA Kuibuka Mshindi Dhidi ya MAGUFULI Kwa UWIANO Huu Hapa...

Utafiti wa awali uliotolewa na shirika la Kimataifa umeonyesha kwamba Lowassa atashinda kwa asilimia 52.1% Dhidi ya Magufuli 47.9..... Utafiti huu umefanywa kwa mikoa 29 Tanzania
Kwa upande wa wabunge inaonyesha CCM wataongoza kwa kuwa na wabunge wengi dhidi ya Ukawa.....
Mytake:... Lowassa Hazuiliki... 
TOA MAONI YAKO HAPO CHINI

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.