Ester Bulaya, mshindi Wa Tatu kura za maoni CDM, Amepitishwa na chama
kupeperusha bendera ya chama kama mgombea Wa Ubunge -BUNDA. Alipokwenda
kuchukua Form yake msimamizi Wa uchaguzi akamgomea. Kisa .."kwanini uwe
wewe badala ya mshindi Wa kwanza".
Mtanange haukuishia hapo, mwenyekiti Wa chama plus mshindi Wa kwanza kwenye kura za maoni wote wakavamia offisi ya msimamizi huyo kushinikiza Ester Bulaya apewe Form, bado msimamizi akagoma kwa madai Yale Yale kwanini wakupe wewe sio yule. Mtifuano ulipozidi akaachia form.
Watanzania hii Tafsiri yake nini? Kiongozi sampuli hii huko mbeleni itakuwaje.. Na wako wengi type hiyo..
Mtanange haukuishia hapo, mwenyekiti Wa chama plus mshindi Wa kwanza kwenye kura za maoni wote wakavamia offisi ya msimamizi huyo kushinikiza Ester Bulaya apewe Form, bado msimamizi akagoma kwa madai Yale Yale kwanini wakupe wewe sio yule. Mtifuano ulipozidi akaachia form.
Watanzania hii Tafsiri yake nini? Kiongozi sampuli hii huko mbeleni itakuwaje.. Na wako wengi type hiyo..
Pia ikumbukwe hata CCM nako kuna waliopitishwa na NEC kugombea ubunge lakini hawakua washinidi wa kwanza katika kura za maoni! Mi napita njia tu...
ILA TAFAKARI SANA AISEE..
ILA TAFAKARI SANA AISEE..


Note: Only a member of this blog may post a comment.