Magazeti ya Ijumaa 7 August 2015
yako mtaani tayari na vichwa vyake vikubwa vya habari, kazi yangu ni
kukusogezea zile zote zinazoweka headlines magazetini… ziko na hizi
zilichochambuliwa Redioni.
Prof. Ibrahim Lipumba ang’oka hali tete UKAWA, ajiuluzu Uenyekiti wa CUF akimpinga Edward Lowassa adai UKAWA washindwa kuenzi uadilifu na uzalendo… CCM kuwapitisha Wagombea Ubunge Z’bar leo… Edward Lowassa aipasua vipande UKAWA… NEC yaonya kampeni nyumba za ibada…Siri yafichuka CUF watoa tamko na kuna stori pia ya mke wa Dk. Wilbroad Slaa kufunguka.
Idadi ya Wabunge 51 waanguka Kura za Maoni ndani ya Vyama vyao… Zaidi ya majambazi 10 waliohusika na tukio la Stakishari
wakamatwa na Polisi… Wamachinga wanaendelea na ujenzi wa vibanda
Jangwani pamoja na Serikali kusisitiza kuwa wanapaswa kuhama eneo hilo.
Wasanii waingia mitini kwenye kikao kilichoandaliwa na idara ya mawasiliano TCRA na kati ya wasanii 70 walioalikwa waliofika ni wasanii chini ya 20… Sauti ya uchambuzi wote wa magazeti @CloudsFM nimekurekodia na kukuwekea hapa chini.


Note: Only a member of this blog may post a comment.