New York, Marekani
HOST wa Kipindi cha The Kardashians, Khloe Kardashian ameamua kufungukia skendo ya dawa za kulevya ambayo imeikumba familia yake.
Awali
ilidaiwa kuwa, kwenye pati waliyofanya akina Khloe yenye nia ya
kuwapongeza Kendall Jenner na Kylie Jenner kwa kuhitimu masomo yao, wapo
watu waliovuta madawa ya kulevya.Kufuatia madai hayo,Khloe ameamua
kuyakanusha kwa kusema kuwa, wanaoeneza habari hizo wana nia ya
kuichafua familia yao.
“Hakuna mtu aliyevuta cocaine kwenye pati yetu,familia yangu si rahisi kama mnavyoichukulia, hayo maneno ni ya uzushi tu,” alisema Khloe.Hata hivyo, watoa ubuyu walidai kuwa kwenye pati hiyo kuna marafiki waliofika eneo hilo wakati f’lani walikaa pembeni na kuvuta unga.
HOST wa Kipindi cha The Kardashians, Khloe Kardashian ameamua kufungukia skendo ya dawa za kulevya ambayo imeikumba familia yake.
“Hakuna mtu aliyevuta cocaine kwenye pati yetu,familia yangu si rahisi kama mnavyoichukulia, hayo maneno ni ya uzushi tu,” alisema Khloe.Hata hivyo, watoa ubuyu walidai kuwa kwenye pati hiyo kuna marafiki waliofika eneo hilo wakati f’lani walikaa pembeni na kuvuta unga.

Note: Only a member of this blog may post a comment.