Sunday, August 2, 2015

Anonymous

BREAKING NEWS: MAKONGORO Aihama Rasmi CCM, Anafanya Mazungumzo na LOWASSA Kujiunga na CHADEMA!

Makongoro Mahanga 
Mh. Dkt. Makongoro Mahanga akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Segerea Mwisho leo.
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira na Mbunge wa Segerea anayemaliza muda wake, Mh. Dkt. Makongoro Mahanga, ametangaza rasmi kuihama CCM kutokana na kutokuwepo demokrasia ya kweli ndani ya CCM.
Amesema anafanya mazungumzo na Edward Lowassa pamoja na CHADEMA ili aweze kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.