Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babu Seya alikata rufaa
mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na
udhalilishaji watoto.
Je, Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je, ataachia wafungwa wote? Lowassa ataleta mgongano wa kidola?
Chanzo: Raia Tanzania
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Je, Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je, ataachia wafungwa wote? Lowassa ataleta mgongano wa kidola?
Chanzo: Raia Tanzania


Note: Only a member of this blog may post a comment.