Baada ya CCM Kutoa List ya Team Ambayo itahakikisha CCM inashinda Urais
2015 , Mtoto wa Rais Ridhiwani Kikwete Ameandika Meneno haya :
"Sasa kumekucha.... Nikiangalia hiki kikosi naamini kabisa kuna Chama kitamficha mgombea wake ndani ili wengine wafanye yale ya matumizi halali ya Madodoki ya Chuma .... Nani msiniulize. Huu ndiyo mziki wa Magufuli, sidhani kama Mtauweza"
Je Kwa Maoni yako ni Mgombea Yupi Atafichwa Ndani ?
"Sasa kumekucha.... Nikiangalia hiki kikosi naamini kabisa kuna Chama kitamficha mgombea wake ndani ili wengine wafanye yale ya matumizi halali ya Madodoki ya Chuma .... Nani msiniulize. Huu ndiyo mziki wa Magufuli, sidhani kama Mtauweza"
Je Kwa Maoni yako ni Mgombea Yupi Atafichwa Ndani ?


Note: Only a member of this blog may post a comment.