Tuesday, August 4, 2015

Anonymous

Je, Rais wa Namna Gani Atatufaa Watanzania? Soma Vigezo Hapa...

Tanzania tunamhitaji Rais
  • Mwenye hofu ya Mwenyezi Mungu,
  • Mwenye kuheshimu Haki
  • Mwenye Kuheshimu utawala wa Sheria zisizo kandamizi
  • Mwenye maono na dira Makini kimaendeleo
  • Mwenye falsafa endelevu Kiuchumi na Kimaendeleo
  • Mwenye utendaji shirikishi ktk ubunifu na utekelezaji wa sera,mipango,mikakati
  • Huruma kwa wasio nacho,na masini,
  • Mvumilivu wa misukosuko
  • Imara Kimaamuzi
  • Mstahimilivu
  • Asiye na visasi
  • Anaesamehe wanaomkosea,Mkwaza
  • Asiye na makuu kimaisha
  • Msikivu na aliye tayari kutekeleza matakwa ya wananchi
  • Aliye tayari kushauriwa,Kushaurika......
 Hapa ni mawazo huru kwahiyo waweza ongeza kigezo kingine unachoona kinafaa hapo chini kwa comment box tafadhali!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.