HekaHeka ya leo inatokea maeneo ya Mbeya kutoka kwa mmoja wa wapenzi na wasikilizaji wa Clouds FM aitwaye Pendo…anasema
amepitia kwenye vitu vingi baada ya kupata rafiki ambaye walikutana
akiwa na shida baada ya mume wake kuwa mgonjwa sana.
Anasema wakati mume wa huyo rafiki yake akiwa anaumwa walipata mtu
ambaye alijitokeza kumsaidia mume wake ikiwa ni pamoja na kumsafirisha
kwenda Nigeria kupatiwa matibabu lakini baadaye alifariki.
Baada ya mume wake kufariki yule rafiki yake akaanza kumpenda mume wa
yule dada aliyewasaidia kitu ambacho kilimuumiza sana Pendo.
Baadaye anasema alikuja kuthibitisha baada ya kukiri ni kweli..lakini
kibaya zaidi licha ya kumsamehe aliamua kumtangaza mji mzima na kupanga
na wanawake wa mjini kwenda kumfanyia vurugu.
Msikilize hapa…

Note: Only a member of this blog may post a comment.