Friday, August 21, 2015

Anonymous

DUDE: Mwanaume Achagui Kazi!


MWIGIZAJI, Kulwa Kikumba ‘Dude’, amewataka wanaume kutochagua cha kufanya ili wapate kipato kitakachowawezesha kuendesha familia zao bila usumbufu.
“Nilifanikiwa kuiona filamu ya ‘Yote Njaa’ ina somo kwa wanaume wanaochagua kazi wakati kuna kazi nyingi za kujishughulisha hivyo hakuna sababu ya kuchagua kazi,” alisema Dude
-Mtanzania

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.