Thursday, July 30, 2015

Anonymous

WEMA SEPETU Kahamia Chadema? Hapa Nimekuwekea Ukweli Mzima Kuhusu Habari Hii ya Wema Kuhama Chama na Kumfuata LOWASSA!


Meneja wa Wema Sepetu Amekanusha taarifa na picha zinazosambaa kwamba Wema Amejiunga na Chama cha Chadema Kumfuata Lowassa.....Hakuna Ukweli wowote.....Mkiona Habari hizo mzipuuzie....

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.