Nyota wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo ameingia ubia wa kutoa matangazo na kampuni ya kijapani inayotengeneza vifaa vya kufanyia mazoezi pamoja na vifaa vya kupendezesha mwonekano wa uso.
Angalia hapa video hizi mbili za nyota huyo akitangaza ubora na matumizi ya vifaa hivyo hapa
Cheki video ya pili hapa


Note: Only a member of this blog may post a comment.