Sophia Simba: Ameamua kumuunga mkono Dr Magufuli: Msimamo huo umetolewa na Amina Makilagi
Wameandaa hafla ya kumpongeza mgombea mwenza Samia Suluhu
Mh Nchimbi: Yeye alitoa pongezi kwenye ukurasa wake wa facebook, kumuunga mkono Magufuli!
Aliyegoma kumuunga mkono ni Kimbisa ambaye alikuwa kwenye mashauriano na Mh Lowassa.
Kumbe wote hawa walikuwa wachumia! Hii ndio siasa, zubaa uzikwe!
Wameandaa hafla ya kumpongeza mgombea mwenza Samia Suluhu
Mh Nchimbi: Yeye alitoa pongezi kwenye ukurasa wake wa facebook, kumuunga mkono Magufuli!
Aliyegoma kumuunga mkono ni Kimbisa ambaye alikuwa kwenye mashauriano na Mh Lowassa.
Kumbe wote hawa walikuwa wachumia! Hii ndio siasa, zubaa uzikwe!
Note: Only a member of this blog may post a comment.