MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Colombia, Radamel Falcao ametua rasmi katika Klabu ya Chelsea kwa mkopo wa ada ya pauni milioni 6. Falcao ametua Chelsea akitokea Monaco na atakuwa akiweka kibindoni mshahara wa pauni 285,000 kwa wiki. Msimu uliopita Falcao alikuwa akikipiga katika Klabu ya Manchester United.
Saturday, July 4, 2015
HUU NDIO MSHAHARA ATAOKUA ANALIPWA FALCAO BAADA YA KUTUA CHELSEA FC
MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Colombia, Radamel Falcao ametua rasmi katika Klabu ya Chelsea kwa mkopo wa ada ya pauni milioni 6. Falcao ametua Chelsea akitokea Monaco na atakuwa akiweka kibindoni mshahara wa pauni 285,000 kwa wiki. Msimu uliopita Falcao alikuwa akikipiga katika Klabu ya Manchester United.
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Filed Under:
SPORTS AND ENTERTAINMENTS
on Saturday, July 4, 2015

Note: Only a member of this blog may post a comment.