Thursday, July 2, 2015

Anonymous

AIBU KUBWA! KANYE WEST ‘ALA ZA USO’ JIIJNI LONDON!


Staa wa Hip Hop, Kanye West.
New York Marekani
STAA wa Hip Hop, Kanye West hivi karibuni amekutana na aibu kubwa jijini London wakati akiwa kwenye tamasha la kuadhimisha Sikukuu ya Glastonbury baada ya kikundi fulani cha mashabiki kunyoosha bendera juu iliyochorwa picha ya mkewe Kim Kardashian akifanya ngono na Ray J.

Kanye West akiwa na mkewe Kim Kardashian.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari mbalimbali nchini Uingereza na Marekani,Kanye hakupenda kabisa kulizungumzia tukio hilo la aibu.
Ray J aliwahi kuwa mpenzi wa Kim Kardashian kabla hajaolewa na Kanye, mapema tu baada ya mapenzi yao kutumbukia ‘korongoni’ilisambaa ‘tape’iliyowaonesha wawili hao wakifanyangono.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.