Jana na leo imekuwa siku ambayo tumezipokea story nyingi sana toka Dodoma, ninayo mengine leo mtu wangu… Ukumbi mpya wa Dodoma Convertion Centre umewakutanisha Wajumbe wa CCM na yametolewa majibu ya kura kwamba Dk. John Pombe Magufuli ndio Mgombea Urais wa CCM na Samia Hassan Suluhu amekuwa Mgombea Mwenza.
Kama umeona LIVE ya kwenye TV kilichokuwa
kinaendelea ndani ya Ukumbi huo, nimefanikiwa kuzunguka na nje ya
Ukumbi huo kuona kila kilichokuwa kinaendelea, ninazo pichaz hapa...
Wajumbe wengine walikuwa nje ya Ukumbi wakiendelea kuimba na kucheza muda wote ambao Kikao kilikuwa kikiendelea ndani.

Note: Only a member of this blog may post a comment.