Thursday, July 2, 2015

Anonymous

10 PICHAZ: MADAM RITA WA BSS AFUTURU NA WATOTO YATIMA MWENGE!

IMG_4019
IMG_4051
IMG_4045
IMG_4037
IMG_4033
IMG_4061
IMG_4070
IMG_4073
IMG_4079
IMG_4084
MKURUGENZI wa kampuni ya Bench Mark Production, Rita Poulsen (Madam Rita) jana, Jumanne, alitayarisha futari kwa watoto yatima wa kituo cha Chakuwama kilichopo Mwenge jijini Dar es Salaam ikiwa ni harakati za kuanza mchakamchaka wa shindano la Bongo Star Search (BSS) la kutafuta vipaji vya uimbaji ambalo linatarajiwa kuanza Julai 4, jijini Mwanza. 

Katika hafla hiyo, Rita aliongozana na jaji mwenzake wa muziki, Master J,Rita alisema ameamua kutembelea kituo hicho ili kurejesha fadhila zake kwa jamii kwa kile kidogo anachokipata.
“Nimeamua kuwafuturisha watoto hawa ukiwa mkakati wa kutembelea vituo mbalimbali ili kurejesha fadhila yangu kwa jamii.“ Tumeamua kufanya mabadiliko makubwa katika shindano la mwaka huu na nina imani kila kitu kitakwenda sawa,” alisema Rita.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.