Thursday, July 2, 2015

Anonymous

Waziri MEMBE Amepiga Picha na ZITTO KABWE Akayaandika Haya!

Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Bernard Membe ambaye June 30 alikabidhi rasmi fomu kwenye ofisi za makao makuu ya CCM kama mmoja wa waliotangaza nia ya kuomba kuteuliwa kugombea urais 2015, amezipokea RT’s kwenye twitter yake baada ya kuweka picha akiwa na Zitto Kabwe kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo.

Baada ya kuiweka hii picha aliandika ‘Siasa sio uadui, tumeweza kupingana bila kupigana tuendeleze utamaduni huu adhimu.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.