Thursday, June 18, 2015

Anonymous

LIVE: MSANII DAYNA NYANGE ANASWA KIMAHABA NA KIDUME!

Imelda Mtema
PICHA za staa wa muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ akiwa katika pozi la kimahaba zimenaswa.
Picha hizo zinazomuonesha akiwa katika ‘mabusu ya kiutuzima’ na mwanaume mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja.

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’.
Baada ya kunaswa kwa picha hizo, Amani lilimvutia waya Dayna ambapo alijitetea kuwa hajui picha hizo zimesambaaje japokuwa ni kweli alipiga akiwa na mchumba wake ambaye kwa sasa hayupo naye.
“Kuna kipindi jamaa yangu aliniambia kuwa simu yake imeharibika na ipo kwa fundi, sasa huenda walimfanyia mchezo mbaya,” alijitetea Dayna.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.