Friday, June 5, 2015

Anonymous

JINI KABULA: Siwezi kuficha, ukweli ndio huo kama huamini basi, mwanaume akinitaka huwa anan...

STAA wa Bongo movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, ametoa kali kwamba katika maisha yake ya mapenzi hajawahi kulala na mwanaume kwenye nyumba za wageni.

Kabula alisema wanaume aliowahi kuwa nao kimapenzi walipotaka kumpeleka katika nyumba hizo aligoma na badala yake aliwataka wampeleke wanapoishi kama hataki hapati kitu.

“Siwezi kuficha, ukweli ndio huo kama huamini basi, mwanaume akinitaka huwa ananipeleka kwake sio gesti kama hataki aniache tu, naendeleza rekodi yangu ya kutolala na wanaume gesti,’’ alieleza Kabula.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.