Diamond Platnumz ambaye yuko nchini Nigeria akifanya media tour ya
kuitangaza single yake mpya ‘Nana’, anatarajiwa pia kutumbuiza kwenye
show ya MTV Road to MAMA itakayofanyika Ijumaa hii July 3, jijini Lagos.
Platnumz ataungana na wasanii wa Nigeria akiwemo Iyanya ambaye
ameshafanya naye collabo, Yemi Alade, Phyno, Olamide na wengine
waliopangwa kutumbuiza katika show hiyo.

Note: Only a member of this blog may post a comment.