New York Marekani LICHA ya watu
wengi kudhani huenda wana bifu kutokana na wote kutoka kimapenzi na
staa wa Pop, Christopher Maurice ‘Chris Brown’mwanamitindo, Karrueche
Tran amefungua kinywa chake kwa mara ya kwanza na kumfagilia staa
mwenzake, Robyn Fenty ‘Rihanna.
’Karrueche alianika hisia zake kwa kumfagilia Rihanna na kusema kuwa bibie huyo ni mrembo. “Wote tumetembea na bwana mmoja na ndicho kilichokuwa.
Siku zote imeonekana kama ni ushindani na watu wamekuwa wakitufananisha lakini yule ni Rihanna. Ni staa wa Pop na ni mrembo anayefanya muziki mzuri na mimi ni mimi nimekuwa na kufanya kazi kivyangu,” alifunguka Karrueche.
’Karrueche alianika hisia zake kwa kumfagilia Rihanna na kusema kuwa bibie huyo ni mrembo. “Wote tumetembea na bwana mmoja na ndicho kilichokuwa.
Siku zote imeonekana kama ni ushindani na watu wamekuwa wakitufananisha lakini yule ni Rihanna. Ni staa wa Pop na ni mrembo anayefanya muziki mzuri na mimi ni mimi nimekuwa na kufanya kazi kivyangu,” alifunguka Karrueche.
Note: Only a member of this blog may post a comment.