“Awa wanangu wa family ya mkubwa na wanawe NI ndugu wa kuzaliwa tumbo moja muu na enock bella msanii wa ya moto band jana USIKU wamefiwa na mama mzazi jana alipokuwa akijifungua hospital mjini zanzibar mpango wa mazishi yanafanyika mda huu znz chwaka .R.I.P MAMA. MUNGU AKUWEKE SEHEMU STAHIKI INSHAALLAH,” ameandika Fella kwenye picha hiyo juu aliyoiweka Instagram.
“Pia nawasii wanangu muu na enock bella kifo NI daraja la ibada ya kwenda maisha mengine na kila mmoja wetu anatakiwa kuvuka ila kweli umri wenu mdogo kulibeba ili ila INSHAALLAH MUNGU atawaongezea SUBRA amin lab la aminiiii,” ameongeza Fella.

Note: Only a member of this blog may post a comment.